
Thank very much kwa kuanzishwa Thamani Academy. Personally, imenisaidia sana. Nilipita kwenye wakati mgumu sana. Nilikuwa very depressed, for sure nilikata tamaa sana. Niliona giza mbele yangu, lakini mara baada ya kuifahamu Thamani Academy, nilipata ushauri ulionivusha completely and I can say I’m doing well now. Niko vizuri sana na everything is well.